WAFANYAKAZI BORA ZURA 2025

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi amewakabidhi Vyeti na fedha Taslim Jumla ya Wafanyakazi watano (5) wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA)  katika kilele cha Maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani yaliofanyika Kitaifa Nyamanzi Mkoa wa Kusini Unguja.

Wafanyakazi waliokqbidhiwa zawadi hizo ni pamoja na  Ali Abdalla Ali Mkaguzi mafuta, Ali Salum Moh’d Dereva, Samia Yussuf Moh’d Karani, Rajab Said Moh’d Mkaguzi Maji.

ZURA ni miongoni mwa Taasisi za Umma inayojenga weledi wa Wafanyakazi wake ambapo kila Mwaka hutoa Wafanyakazi bora.

Archives

Categories

At vero eos et accusamus et iusto odio digni goikussimos ducimus qui to bonfo blanditiis praese. Ntium voluum deleniti atque.

Melbourne, Australia
(Sat - Thursday)
(10am - 05 pm)