Month: September 2025

ZURA YAKUTANA NA WATUMIAJI WA ENEO LA BOHARI YA MAFUTA – MTONI

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imelenga kuongeza idadi ya wawekezaji katika Sekta za Maji na Nishati kwavile wawekezaji wengi hutembelea na kuelezwa fursa za uwekezaji katika Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Dar es salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanja vya Sabasaba Temeke, Dar…
Read More

ZURA YAKAGUA KITUO KINACHOENDEA NA UJENZI

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA) imefanya ukaguzi wa Kituo kipya kinachoendelea na ujenzi cha Kigomasha kilichopo Makangale Mkoa wa Kaskazini Pemba. Ukaguzi wa Kituo hicho ni hatua za kuifanyiakazi kanuni ya usimamizi wa Vituo vya Mafuta ya 2022 ili kuwa na Udhibiti bora wa…
Read More

UKAGUZI WA UJAZAJI NA UHIFADHI WA GESI UNGUJA

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (ZURA), imefanya ukaguzi wa Ghala za kuhifadhia na Vituo vya kujazia Gesi ya kupikia (LPG). Ukaguzi huo umefanyika katika Kampuni ya LAKE GAS iliyopo Machui Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja na Kampuni ya ORYX iliyopo Masingini Mkoa wa…
Read More

Categories

At vero eos et accusamus et iusto odio digni goikussimos ducimus qui to bonfo blanditiis praese. Ntium voluum deleniti atque.